110 - ANNAS'R |
| |
|
KWA JINA LA MWENYEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU. |
| |
| |
| 1 | Itakapo kuja nusura ya Mwenyezi Mungu na ushindi, |
| |
| 2 | Na ukaona watu wanaingia katika Dini ya Mwenyezi Mungu kwa makundi, |
| |
| 3 | Zitakase sifa za Mola wako Mlezi, na umwombe msamaha; hakika Yeye ndiye anaye pokea toba. |
| |